ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MARUFUKU YAJA VAZI LA ABAYA SHULE ZA UMMA UFARANSA

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in KIMATAIFA
0
MARUFUKU YAJA VAZI LA ABAYA SHULE ZA UMMA UFARANSA
0
SHARES
30
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Waziri wa elimu wa Ufaransa Gabriel Attal amesema mamlaka itapiga marufuku wanafunzi kuvaa abaya wakati wanapokuwa shule.

Vazi la abaya ambalo linachukuliwa kuwa buibui la mtindo wa kisasa huvaliwa na baadhi ya wanawake wa kiislamu kama stara.

Katika mahojiano na shirika la habari la Ufaransa la TF1, waziri huyo ameeleza kuwa atafanya mazungumzo mapema wiki hii na wakuu wa shule za umma ili kuwasaidia kutekeleza marufuku hiyo.

Marufuku hiyo itaanza Septemba 4, 2023 baada ya muhula mpya wa masomo wan chi hiyo kuanza rasmi.

Hatua hiyo inakuja baada ya Ufaransa kupiga marufuku alama za kidini katika shule za serikali na majengo ya serikali, ikisema kwamba zinakiuka sheria za kilimwengu.

Ufaransa imepiga marufuku mavazi au alama zozote za kidini katika shule za umma ikisema inafanya hivyo ili kutenganisha serikali na dini.

Inakadiriwa kuwa, waislamu kati ya milioni 3.5 hadi milioni 6 wanaishi nchini Ufaransa, taifa lenye idadi ya watu wapatao milioni 67.

 

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
WATU 113 WAFARIKI NA WENGINE 150 KUJERUHIWA KWENYE SHEREHE YA HARUSI NCHINI IRAQ
HABARI

WATU 113 WAFARIKI NA WENGINE 150 KUJERUHIWA KWENYE SHEREHE YA HARUSI NCHINI IRAQ

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
SPIKA WA BUNGE NCHINI KANADA AJIUZULU
HABARI

SPIKA WA BUNGE NCHINI KANADA AJIUZULU

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
RAIS NDAYISHIMIYE AKANUSHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU MAPINDUZI DHIDI YAKE
HABARI

RAIS NDAYISHIMIYE AKANUSHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU MAPINDUZI DHIDI YAKE

by SUZO SHUKRANI
Sep 25, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In