ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya azindua NMB Onja Unogewe kwa Mkoa wa Nyanda za Juu

I am Krantz by I am Krantz
Aug 7, 2023
in HABARI
0
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya azindua NMB Onja Unogewe kwa Mkoa wa Nyanda za Juu
0
SHARES
49
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya – Mhe. Juma Homera (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Mtandao wa Matawi na Mauzo wa Benki ya NMB, Donatus Richard (kulia)wakipeperusha Bendera kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya Onja Unogewe kwa kanda ya nyanda za juu inayolenga kuhamasisha matumizi ya kufanyia malipo kwa njia ya kidigitali kupitia NMB Lipa Mkononi(QR) inayoendeshwa na Benki hiyo katika stendi ya mabasi madogo ya Nane Nane jijini Mbeya.

 

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Juma Homera (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Mtandao wa Matawi na Mauzo wa Benki ya NMB – Donatus Richard (center)wakipeperusha Bendera kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya Onja Unogewe kwa kanda ya nyanda za juu inayolenga kuhamasisha matumizi ya kufanyia malipo kwa njia ya kidijitali kupitia NMB Lipa Mkononi(QR) inayoendeshwa na Benki hiyo katika stendi ya mabasi madogo ya nane nane jijini Mbeya. Kulia ni Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Straton Chilongola.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya – Mhe. Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB chini ya mwamvuli wa Teleza Kidijitali, inayowezesha malipo kwa njia ya NMB Lipa Mkonono (QR) kwa usalama wa pesa za wafanyabiashara na wanunuzi lengo likiwa kuhamasisha mhamo wa jamii kutoka kwenye matumizi ya pesa taslimu kwenda katika matumizi yasiyo ya pesa taslimu.

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

 

Akizungumza kuhusu  kampeni ya NMB Onja Unogewe wakati wa uzinduzi katika viwanja vya stendi ya daladala ya Nane Nane jijini Mbeya, Mkuu wa Idara ya Mtandao wa Matawi ya NMB Bw.Donatus Richard  alisema kuwa, licha ya Onja Unogewe kubeba dhana nzima ya suluhu za kifedha katika manunuzi na malipo, pia kampeni hiyo inawapa fahari wao kama benki katika kujenga mfumo Jumuishi wa masuala ya fedha kupitia mapinduzi ya kidijitali waliyoyafanyia uwekezaji mkubwa.

Donatus alibainisha kwamba, NMB inadhamiria kuhakikisha wafanyabiashara wanapata malipo yao moja kwa moja kwenye akaunti zao tena bila makato yoyote kwao wala wateja – kazi yao ni kuwapa wateja QR kuscan- Hii ni njia rahisi na salama kuhakikisha mahesabu hayapotei na hujihakikishia usalama wa fedha zao.

Moja ya faida anayopata mlipaji kupitia NMB Lipa Mkononi ni kuwa wigo mpana wa kulipia kidijitali na kunufaika na rejesho la hadi asilimia 10 katika malipo atakayofanya.

Mhe. Homera aliipongeza NMB kwa ubunifu na kuwaita ‘nyumba ya ubunifu’. Aidha, aliishukuru NMB kwa kuzindua kampeni hiyo jijini Mbeya, moja ya mikoa ya mpakani (Zambia na Malawi) ambayo inakabiliwa na matukio mengi ya wizi, ujambazi na upotevu wa pesa, huku akiwataka wafanya biashara na wajasiriamali wa Nyanda za Juu kuchangamkia fursa ya kutumia NMB Lipa Mkononi (QR) ili kukabiliana na changamoto hizo katika mauzo na manunuzi yao ya kila siku.

Vile vile, aliwaasa wana Mbeya – hasa watoa huduma za Bajaji, bodaboda, mama lishe, wauza maduka, wafanyabiashara na wajasiriamali, wanapaswa kuwa vinara katika kuchangamkia huduma hii. Wekeni QR Code hizi madukani na sehemu zenu za biashara, ili kuwawezesha wateja kufanya malipo na kuepukana na mtukio hatarishi kwa fedha zao yanayoikabili jamii, hususani mikoa hio ya mipakani.

 

 

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In