ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MNANGANGWA ASHINDA TENA URAIS ZIMBABWE

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in KIMATAIFA
0
MNANGANGWA ASHINDA TENA URAIS ZIMBABWE
0
SHARES
23
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza matokeo ya Urais siku ya jumamosi ambapo Emmerson Mnangagwa ameshinda na hivyo kutetea Kiti chake kwa 53% ya Kura zilizopigwa.

ZEC imesema Mpinzani Mkuu wa Mnangagwa, Nelson Chamisa anayeongoza chama cha Citizens’s Coalition for Change (CCC), alipata 44% ya kura za Urais, hata hivyo Chamisa amekataa Matokeo hayo.

Hatua hii inakuja ikiwa ni muda mfupi tangu Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU OEM) kutangaza kuwa Uchaguzi huo haukuwa Huru na Haki, huku baadhi ya Waangalizi wa Uchaguzi huo wakikamatwa. Mnangagwa aliingia Madarakana mara ya kwanza mwaka 2017 kwa kumpindua Robert Mugabe.

 

Alipoidhinishwa kuwa rais kwa mara ya kwanza, Mnangagwa ambaye pia anajulikana kama “Mamba” aliahidi mwanzo mpya kwa raia wa nchi yake.

Lakini Zimbabwe ni nchi mojawapo iliokabiliwa na mfumko wa bei wa kiwango cha juu duniani mwezi uliopita bei za bidhaa Julai zilipanda kwa 101.3% tangu mwaka uliopita. Bado kuna ukosefu wa ajira wakati ni 25% ya wananchi walio na kazi rasmi.

 

Ahadi ya Mnangagwa kuhakikisha haki za binaadamu pia inaonekana kutokuwa na mashiko, huku kukiwa na mageuzi kidogo tangu kuondoka kwa Mugabe. Wakosoaji wanasema kiongozi huyo wa miaka 80 amenyamazisha na kukandamiza upinzani kuelekea uchaguzi huo ambao alitarajiwa pakubwa kushinda.

 

Tume ya uchaguzi Zimbabwe (ZEC) inasema mpinzani mkuu wa Mnangagwa mgombea kutoka chama cha Citizens’ Coalition for Change (CCC) Nelson Chamisa, alijinyakulia 44% ya kura.

Mnangagwa alijipatia zaidi ya kura milioni 2.3, naye Chamisa akijipatia kura milioni 1.9, kwa mujibu wa ZEC. Idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura katika nchi ilio na jumla ya raia milioni 16 ilikuwa ni 69%, tume hiyo imesema.

Upinzani unadai kulikuwa na udanganyifu, lakini mahakama ya katiba imeidhinisha matokeo hayo.

 

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
RAIS KAGAME KUWANIA TENA URAIS MWAKA 2024
HABARI

RAIS KAGAME KUWANIA TENA URAIS MWAKA 2024

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
WATU NANE WAFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA YA JESHI NCHINI KENYA KARIBU NA MPAKA WA SOMALIA
HABARI

WATU NANE WAFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA YA JESHI NCHINI KENYA KARIBU NA MPAKA WA SOMALIA

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023
INDIA NA CANADA WAFUNGIANA MILANGO
HABARI

INDIA NA CANADA WAFUNGIANA MILANGO

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023
MOROCCO VS SAHARA MAGHARIBI DIPLOMASIA ILIYOPOTEA ZAIDI YA MIAKA 45
KIMATAIFA

MOROCCO VS SAHARA MAGHARIBI DIPLOMASIA ILIYOPOTEA ZAIDI YA MIAKA 45

by SUZO SHUKRANI
Sep 13, 2023
RAIS BIDEN AWEKWA KIKAANGONI
HABARI

RAIS BIDEN AWEKWA KIKAANGONI

by SUZO SHUKRANI
Sep 13, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In