ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

“NMB na Agricom Africa Watoa Msaada Mkubwa kwa Wakulima: Mikopo na Zana za Kilimo za Kisasa Zinawezesha Mapinduzi ya Kilimo Nchini!”

I am Krantz by I am Krantz
Aug 8, 2023
in HABARI
0
Kamati ya Bunge yatembelea Banda la NMB Nane Nane jijini Mbeya
0
SHARES
29
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa Sekta ya Kilimo, hivyo kuwataka kuchangamkia fursa za mikopo nafuu ya pesa, zana za kilimo hususani matrekta, ‘power tillers’ na pembejeo ili kufanya kilimo chenye tija.

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

 

Hayo yamesemwa katika viwanja vya maonesho ya Kitaifa ya Kilimo ya Nane Nane jijini Mbeya na Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Biashara wa NMB – Nsolo Mlozi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Agricom Africa – Bw. Alex Duffar.

 

Akizungumza,Mlozi alisema NMB na Agricom wanafahamu kwamba Kilimo cha Tanzania kinahitaji miundombinu, pembejeo na zana bora na za kisasa, eneo ambalo wamejipanga vya kutosha kuwafikia wakulima wote – Bara na Zanzibar, hasa vijana na kinamama ambao ndio nguvu ya Taifa katika kilimo.

 

Alifafanua zaidi kuwa NMB wana bajeti ya mabilioni ya mikopo na mtandao mpana unaojumuisha matawi 229 kote Tanzania, huku washirika wao Agricom nao wakiwa na matawi zaidi ya 12 kwenye Kanda mbalimbali, hivyo, wana uhakika kuwa wateja wao wanakuwa na Kilimo chenye tija na biashara ya sekta hii kwa ujumla wake itaenda vizuri.

Bw. Nsolo aliwaomba wakulima waende NMB na Agricom sio tu kupata mikopo ya pesa, zana, mashine na pembejeo bora, bali pia wapate ushauri – kwani wanaenda shambani moja kwa moja kumshauri mahitaji mazuri kwake, kisha atakopa kwa riba nafuu ya asilimia 9 kwa mwaka na marejesho ni kulingana na hitaji na msimu. Lakini sio hivyo tu, wakulima watakaokopa mashine, zana za kilimo ama pembejeo watalazimika kuwa na asilimia 20 tu ya malipo, na NMB itamlipia asilimia 80, kisha mkopaji kuwa huru kulipia marejesho yake mpaka miezi 36 kuresha mkopo huo.

 

Naye Duffar, alisema ukubwa wa mtandao mpana wa matawi ya NMB na mafanikio yao kibiashara, kwa pamoja wanadhamiria kuboresha Kilimo nchini -ukizingatia ubora wa zana za Agricom kutoka Kampuni tanzu bobezi za utengenezaji mashine za kilimo, unawahakikishia wakulima suluhishi ambazo hawawezi kuzipata kwingine.

 

NMB wamejipanga kuongeza tija kwenye kilimo, ambayo wanaitazama kama Sekta ya Kimkakati itakayonyanyua uchumi wa mdau na mkulima mmoja mmoja wa mnyororo huo wa thamani na Taifa kwa ujumla  kama kitafanywa kisasa.

 

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In