ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

RAIS SAMIA AWATAKA WAKUU WAMIKOA KUWAJIBIKA

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in HABARI
0
RAIS SAMIA AWATAKA WAKUU WAMIKOA KUWAJIBIKA
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa kuendana na mabadiliko ya dunia.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo wakatia kifunga mafunzo ya viongozi hao kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere.

Aidha, Rais Samia amewataka viongozi hao kuwa wepesi kukabiliana na mabadiliko hayo ili kuendana na mfumowa kidunia wa kisiasa na kiuchumi bila kusubiri maelekezo kutoka juu.

Vile vile, Rais Samia amewataka viongozi huo kujiamini na kuwa na hoja ya kutetea maamuzi wanayoyafanya kwa maslahi ya wananchina taifa kwa ujumla kwa kuzingatia miongozo, kanuni na sheria.

Rais Samia pia amewataka kuhakikisha usalama wa vijana kwa kusimamia miradi inayowahusisha ambayo mingi hutumika kupenyeza ajenda zinazopotosha maadili ya vijana na utamaduni wa taifa.

Kwa upande mwingine, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kuacha kupuuza wananchi hivyo wawatumikie kwa kuwa hudumia na kushughulikia kero, malalamiko na mahitaji yao.

Hali kadhalika, Rais Samia amewataka watumishi serikalini katika idara tofauti kwenye ngazi za mikoa kutumia fedha za maendeleo zinazotolewa kwa maslahi ya wananchi.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In