ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Rais Samia: Hongereni NMB kwa mchango wenu katika Sekta ya Kilimo!

I am Krantz by I am Krantz
Aug 8, 2023
in HABARI
0
Rais Samia: Hongereni NMB kwa mchango wenu katika Sekta ya Kilimo!
0
SHARES
48
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimsikikiza Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Biashara wa Benki ya NMB – Nsolo Mlozi alipotembelea Banda la Benki hiyo katika maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Wapili kulia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Watatu kulia ni Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe.

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

 

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Misitu, sambamba na kusapoti Program ya Kuandaa Vijana na Wanawake Kujenga Kesho Iliyo Bora (BBT). Rais Samia ametoa pongezi hizo leo alipotembelea Banda la NMB wakati akielekea kufunga Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.

Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Biashara wa Benki ya NMB – Nsolo Mlozi, amemueleza Mheshimiwa Rais kuwa katika Sekta ya Kilimo (inayojumuisha kilimo chenyewe, Uvuvi, mifugo na misitu, NMB imeshatoa mikopo ya zaidi ya Shilingi Bilioni 319 tangu Julai 2021 walipoanza kutoa mikopo kwa riba nafuu ya asilimia 9 kwa mwaka.

Aidha alibainisha kuwa, NMB wameishatoa mikopo ya zaidi ya Shilingi Trilioni 1.61 katika Sekta ya Kilimo katika kipindi cha miaka sita mfululizo, huku kwenye Programu ya BBT, tangu Machi wametenga Sh. Bil. 20. Pia, wanatoa Elimu katika Vituo atamizi kwa vijana na wanawake, ambao wamebeba kaulimbiu ya maonesho haya ya Nane Nane ambayo wameyadhamini kwa Sh. Milioni 80, huku wakishirikiana na Wizara ya Kilimo kuwezesha awamu inayofuata wanapoenda kwenye uzalishaji.

Mlozi alifafanua zaidi kuwa, katika Mikopo ya Kimkakati, NMB imetenga Sh. Bilioni 20 za mikopo ya ujenzi wa maghala nchi nzima ili kupunguza changamoto ya uharibifu na upotevu wa mazao ama kuathiri thamani na ubora wa mazao. Aliongeza kuwa wana mashirikiano na taasisi mbalimbali zinazotoa matrekta ‘power tillers,’ zana za kilimo na pembejeo, ikiwemo Kampuni ya Agricom Africa.

Kutokana na maelezo hayo Dkt. Samia aliipongeza NMB kwa namna inavyowajali na kuwathamini wadau wa mnyororo wa thamani wa kilimo, kisha akaiomba benki hiyo kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali yake katika kuboresha sekta za kilimo, mifugo, uvuvi na misitu nchini .

 

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In