ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SINGIDA BIG STARS YAFUZU HATUA INAYOFUATA CAFCC

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in MICHEZO
0
SINGIDA BIG STARS YAFUZU HATUA INAYOFUATA CAFCC
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 katika mchezo wa kwanza dhidi ya JKU, Singida Big Stars jana ilikuwa na kibarua kigumu cha kusaka tiketi ya kutinga raundi ya kwanza wakati iliporudiana na wawakilishi hao wa Zanzibar katika Uwanja wa Azam Complex kuanzia saa 1:30 usiku.

 

Timu ya Singida Big Stars ilipata kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya JKU ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano Kombe la shirikisho barani Afrika, ukipigwa kwenye dimba la Azam Complex, Chamazi.

 

Matokeo haya yanaifanya Singida ifuzu hatua inayofuata kwa jumla ya magoli 4-3 kufuatia ushindi wa 4-1 iliyoupata katika mchezo wa kwanza. Magoli ya JKU yametoka kwa Nassor Juma dakika ya 7 na Gamba Matiko dakika ya 42 kwenye dakika arobaini na tano za kipindi cha kwanza.

 

Kocha wa Singda BS, Hans Pluijm alizungumza kabla ya mechikuwa licha ya ushindi mnono walioupata katika mechi ya kwanza,amewatengeneza kisaikolojia wachezaji wake ili wasibweteke leo.

 

“Tunatakiwa tusiamini kwamba tumeshafika sehemu ambayo tunaitaka. Yale matokeo ya kwanza tumeshasahau na sasa tunataka ushindi kwenye mchezo huu,”alisema Pluijm.

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023
RAMADHAN BROTHERS WASHIKA NAFASI YA TANO AMERICA GOT TALENT
HABARI

RAMADHAN BROTHERS WASHIKA NAFASI YA TANO AMERICA GOT TALENT

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
MCHEZO WA MWAKINYO MPAKA HIVI SASA MAMBO BADO MAGUMU
HABARI

MCHEZO WA MWAKINYO MPAKA HIVI SASA MAMBO BADO MAGUMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TZ, KENYA NA UGANDA RASMI KUANDAA AFCON 2027
HABARI

TZ, KENYA NA UGANDA RASMI KUANDAA AFCON 2027

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
SIMBA KUWAKOSA WACHEZAJI WATATU MCHEZO WA MARUDIANO
HABARI

SIMBA KUWAKOSA WACHEZAJI WATATU MCHEZO WA MARUDIANO

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
USHINDI WA TWIGA STARS WAMLETA RAIS SAMIA
HABARI

USHINDI WA TWIGA STARS WAMLETA RAIS SAMIA

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In