ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

VIJANA 260 KUPATA MAFUNZO YA KILIMO ISRAEL

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in KILIMO
0
VIJANA 260 KUPATA MAFUNZO YA KILIMO ISRAEL
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imewezesha vijana 260 kwenda Israel kujifunza na kupata uzoefu katika fani ya kilimo na mifugo kwa kutumia teknolojia ya kisasa. SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Israel wameendelea na jitihada za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya kilimo, ambapo takribani vijana 260 wanapelekwa nchini Israel kupata mafunzo ya kilimo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga vijana wanaotarajiwa kwenda nchini Israel kuhudhuria mafunzo ya kilimo cha kisasa, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu amesema wanafunzi hao watakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo kwa vitendo na yamegharamiwa kiasi cha Sh.milioni 256 na serikali kupitia Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi inayoratibiwa na ofisi hiyo na kuwaasa vijana hao kutumia vizuri fursa hiyo.

Amesema fursa hiyo imepatilana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Israel ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa ajili ya kujenga uwezo wa vijana kwenye sekta ya kilimo

Naye, Mkurugenzi wa Idara ya Aijra na Ukuzaji Ujuzi wa Ofisi hiyo, Ally Msaki, amesema tangu mwaka 2019 serikali imepeleka vijana kutoka vyuo mbalimbali zaidi ya 700 nchini Israel kwenda kujifunza.

Alisema wanafunzi hao wanapokuwa nchini Israel ni fursa nzuri kwao kwani mbali na kupata mafunzo ya utaalamu wa kisasa, lakini pia wanakua wanafanya kazi na kulipwa.

Prof. Katundu amewasihi vijana hao kuitumia elimu wanayoipata nchini humo, ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuwa chachu katika jamii na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Naibu Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam anayeshughulikia mambo ya utafiti Prof. Nelson Boniface amesema fursa hizi zinazotolewa na BBT, ambayo ni mafunzo kwa vitendo yako sawasawa na matakwa ya serikali, ambapo wanataka vijana wapate umahiri pale wanapokuwa wamejifunza darasani waweze kutumia maarifa yao katika kuzalisha.

Pia amesema katika programu hiyo hadi sasa wameshiriki kwa miaka miwili na kwa mwaka huu wanapeleka vijana 32, hivyo kama chuo ushiriki wao unaanza kuchukua kasi kwa kuiunga mkono serikali na kuwa wanufaika katika mradi huo.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

No Content Available

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In