ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ZIMBABWE YAANZA UCHAGUZI RASMI HII LEO

By Shukran Suzo - Aug 23, 2023 In Habari

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 23, 2023
in HABARI
0
ZIMBABWE YAANZA UCHAGUZI RASMI HII LEO
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Upigaji kura unaendelea katika uchaguzi mkuu wa pili nchini Zimbabwe tangu mapinduzi ya mwaka 2017 yaliyomwondoa madarakani mtawala marehemu Robert Mugabe.

Wananchi wa Zimbabwe watachagua rais mpya, wabunge 210 wa kitaifa na viongozi 1,970 wa serikali za mitaa na manispaa.

Zimbabwe inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi na raia wengi wa taifa hilo la kusini mwa Afrika wanaweka matumaini yao ya mustakabali mzuri kwenye uchaguzi wa rais Ulionza mapema hii leo Agosti 23, 2023.

Watu milioni 6.6 waliosajiliwa kuwa wapiga kura wanatarajiwa kushiriki kwenye uchaguzi huo ambao umetabiriwa kuwa utasababisha mgawanyiko.

Katika miaka ya hivi karibuni, maeneo ya mijini yamekuwa ngome za upinzani ikiwemo Mbare ambao ni mtaa mkongwe wa mji mkubwa unaotarajiwa kushuhudia ushindani mkubwa.

Katika eneo la Mbare, bango kubwa lenye picha ya Mnangagwa linaning’inia kwenye ukuta wa nyumba moja iliyoko kwenye mojawapo ya vitongoji duni vya Harare. Ujumbe kwenye bango hilo unawarai watu kumchagua Mnangagwa mwenye umri wa miaka 80 kuwa rais kwa muhula wa pili.

Bango hilo liko mkabala ya barabara ambayo haijawekwa lami, na ambayo sehemu yake imetapakaa maji taka. Kando yake ni wafanyabiashara wa mkaa.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In