ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ALI BONGO AACHIWA HURU NCHINI GABON

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 7, 2023
in KIMATAIFA
0
ALI BONGO AACHIWA HURU NCHINI GABON
0
SHARES
26
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Kupitia taarifa iliyosomwa kwenye TV ya serikali jana Jumatano ya septemba 6,2023 jioni Viongozi wa kijeshi wa Gabon wametangaza kusitisha kifungo cha nyumbani cha Rais Ali Bongo aliyeondolewa madarakani, wakisema kuwa sasa “yuko huru kutembea apendavyo.”

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Msemaji wa Jeshi Kanali Ulrich Manfoumbi alisema uamuzi wa kumwachia huru Ali Bongo ulitokana na “hali yake ya afya na kuongeza kuwa anaweza, ikiwa anataka, kusafiri nje ya nchi kwa uchunguzi wa matibabu.”

Tangu jeshi lilipofanya mapinduzi Agosti 30, lilimweka Rais huyo wa zamani katika kizuizi cha nyumbani, na kutangaza kuwa wanadhibiti nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta.

Uamuzi wa kumwachilia huru unafuatia shinikizo kutoka kwa jumuiya ya kikanda ya Afrika ya Kati ECOWAS na majirani wa Gabon, kuheshimu uadilifu wa kimwili wa kiongozi huyo wa nchi aliyeondolewa madarakani.

Mnamo 2018, Ali Bongo alipatwa na kiharusi. Afya yake ilikuwa chanzo cha wasiwasi kwa wengi katika maandalizi ya uchaguzi wa Rais wa 2023.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
WATU 113 WAFARIKI NA WENGINE 150 KUJERUHIWA KWENYE SHEREHE YA HARUSI NCHINI IRAQ
HABARI

WATU 113 WAFARIKI NA WENGINE 150 KUJERUHIWA KWENYE SHEREHE YA HARUSI NCHINI IRAQ

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
SPIKA WA BUNGE NCHINI KANADA AJIUZULU
HABARI

SPIKA WA BUNGE NCHINI KANADA AJIUZULU

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
RAIS NDAYISHIMIYE AKANUSHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU MAPINDUZI DHIDI YAKE
HABARI

RAIS NDAYISHIMIYE AKANUSHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU MAPINDUZI DHIDI YAKE

by SUZO SHUKRANI
Sep 25, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In