ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ALIMWA MIAKA 15 KWA KOSA LA KULAWITI MTOTO

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 5, 2023
in HABARI
0
ALIMWA MIAKA 15 KWA KOSA LA KULAWITI MTOTO
0
SHARES
21
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mahakama ya Mkoa wa Vuga, jana tarehe 04/09/2023 imemhukumu mshtakiwa Haji Saleh Omar, mme, (20) Mshirazi na mkazi wa Makadara Zanzibar kutumikia kifungo cha miaka 15 Chuo cha Mafunzo na kulipa fidia ya shilingi Milioni Moja kwa kosa la Kulawiti.

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Kesi hiyo ilifunguliwa Mahakamani tarehe disemba 22, 2021 na kupewa kesi namba 344/2021 ambapo awali mshtakiwa huyo alishtakiwa kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 5 kinyume na kifungu namba 115(a) cha sheria ya adhabu 6/2018 Sheria ya Zanzibar.

Mnamo disemba 04, 2021 majira ya saa 2:00 asubuhi huko Makadara Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, mshtakiwa alimuingilia mtoto wa kiume jambo ambalo ni kosa kisheria.

Akisoma maelezo ya hukumu, hakimu wa mahakama hiyo Nayla Abdulbasit Omeyar amesema Mahakama imejiridhisha na ushahidi uliotolewa na mashahidi sita ambao haukuwa na chembe ya shaka ambao umemtia mshtakiwa hatiani.

 

 

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In