ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

BARAZA LA TIBA ASILI LIIMARISHE SHERIA ILI KUONDOA DAWA ZA ASILI ZISIZOFAA KATIKA JAMII

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 15, 2023
in AFYA, HABARI
0
BARAZA LA TIBA ASILI LIIMARISHE SHERIA ILI KUONDOA DAWA ZA ASILI ZISIZOFAA KATIKA JAMII
0
SHARES
13
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

MWENYEKITI wa kamati ya Bunge ya kudumu ya Afya na masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo amelitaka Baraza la Tiba asili na Tiba mbadala kuimarisha usimamiaji wa Sheria ili kuondoa changamoto ya uwepo wa dawa za asili zisizofaa katika jamii.

Mhe. Nyongo amesema hayo alipoungana na wajumbe wengine wa kamati ya kudumu ya Bunge ya afya na masuala ya UKIMWI kutembelea katika Taasisi ya NIMR kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa katika taasisi hiyo hasa katika eneo la tafiti za tiba asili.

“Baraza lifanye kazi yake ili kuondoa Waganga wababaishaji wa tiba asili wote, wanaouza dawa za asili na kusema kwamba, dawa hizi zinatibu magonjwa mbalimbali, inatibu kisukari, inaitibu UKIMWI, inatibu COVID, inatibu nguvu za kiume n.k”. Amesema Mhe. Nyongo.

Mhe. Nyongo ameendelea kusisitiza kuwa Serikali kupitia Wizara kuweka mkazo katika Sheria ya tiba asili, ili kuhakikisha mtu yoyote anaeuza dawa mahali popote katika soko la dawa auze dawa ambazo ni salama kwa mtumiaji ambaye ndio Mtanzania.

Aidha, Mhe. Nyongo amewataka Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) kuimarisha zaidi kwenye kufanya tafiti za tiba asili na tiba mbadala ili kuhakikisha dawa zinazoingia katika soko la wananchi hazileti madhara kwa wananchi lakini zinaongeza ufanisi wa nguvu ya kutibu.

Nae, Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Dkt. Faustine Ndugulile ameutaka uongozi wa NIMR kuhakikisha wanatafuta kiasi cha shilingi milioni 160 ili kumaliza uwekezaji wa mashine ya kutengeneza dawa ambayo mpaka sasa imegharimu zaidi ya Bilioni 2 na wananchi waanze kunufaika na uwekezaji huo.

Amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Afya ipitie upya Sheria za kudhibiti matangazo horera kuhusu dawa za tiba asili na tiba mbadala kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari ambayo yamekuwa takipotosha jamii kuhusu dawa hizo, huku nyingi kati ya dawa hizo zikikikosa kigezo cha usalama.

 

#KoceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In