ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE KUONESHWA RASMI NA TV3

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 13, 2023
in HABARI, MICHEZO
0
NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE KUONESHWA RASMI NA TV3
0
SHARES
49
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Mapema hii Leo septemba 13,2023 shirikisho la soka Tanzania limeingia makubaliano rasmi na kituo cha runinga cha TV3 kuonyesha ligi ya NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE ambapo Mkataba huu na TV3 utakuwa wa miaka mitatu na thamani ya mkataba huu ni milioni 613 Tsh ukisainiwa na Rais wa soka Tanzania TFF Wallace Karia.

Rais Karia amesema “watakuwa Pamoja na uongozi wangu sisi ni waungwana na thamini Tv3 kuja wakati Championship ikiwa katika kipindi kigumu…hivyo mtaendelea kuwa kipaumbele chetu kwa miaka ijayo…baadae mambo yakiwaka… Najua watu watakuja…lakini sisi tutawapa kipaumbele TV3.”

Ameendelea kwa kusema kuwa “Lgi ya NBC Championship itakayokuwa inarushwa Na Tv3 na TV3 Sports, nadhani dunia wataona Championship ni Ligi ngumu kuliko hata Ligi yetu kuu…Pia itatusaidia kuepusha mambo ya ajabu kwani kila kitu kitakuwa hadharani… Tv3 itafika mbali na Championship itafika mbali pia. Mkataba huu ni wa miaka 3 wenye thamani ya milioni 613 za kitanzania…” Wallace Karia Rais wa TFF.

Tv3 hamtojuta kuchukua Ligi hii…kwani hata viwanja ni vya viwango stahiki..Viwanja ambavyo havitokidhi vigezo havitotumika kwenye NBC CL kama ilivyo katika Ligi Kuu…Kwa hio hii itawapa fursa ninyi TV3 kurusha matangazo kwa picha HD kama mlivyokusudia” Wallace Karia Rais wa TFF.

 

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In