ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

POLISI WAFANYA MDAHALO WA KITAIFA WA ULINZI NA USALAMA KWA WAANDISHI WA HABARI

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023
in HABARI
0
POLISI WAFANYA MDAHALO WA KITAIFA WA ULINZI NA USALAMA KWA WAANDISHI WA HABARI
0
SHARES
45
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP David Misime amesema  leo Septemba 19, 2023 Jijini Dodoma kuwa Jeshi la Polisi na Waandishi wa habari ni wadau muhimu katika kufanya kazi zao za kila siku wakati akifungua Mdahalo wa kitaifa kuhusu ulinzi na Usalama kwa Waandishi wa Habari uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari na Jeshi la Polisi.

SACP Misime alisema kazi zinazofanywa na Waandishi wa habari na Jeshi la Polisi lengo lake ni kuisaidia nchi ya Tanzania katika nyanja mbalimbali ikiwemo kukuza uchumi na kuwafanya Watanzania waishi kwa amani na utulivu bila ya kufanyiwa uhalifu.

Alisema mdahalo huo umefanyika katika kipindi muafaka ambapo amewataka washiriki kufanya mdahalo wenye afya ya kujenga taswira nzuri ya Tanzania na kuzingatia maslahi mapana ya Tanzania.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) Kenneth Simbaya amesema lengo la mdahalo huo ni kuimarisha uhusiano ulipo baina ya Jeshi la Polisi na Waandishi wa Habari ili kuwafanya Waandishi wa habari kufanya kazi bila hofu.

Simbaya amesema Waandishi wa habari wanapaswa kufanya kazi zao bila hofu ili kukuza uhuru wa kujieleza na kuimarisha demokrasia nchini.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In