ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SERIKALI YAUNDA MFUMO MAALUM WA KUDHIBITI MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 4, 2023
in AFYA, HABARI
0
SERIKALI YAUNDA MFUMO MAALUM WA KUDHIBITI MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
0
SHARES
21
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema imeunda Programu Maalum ya Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa yasiyoambukiza (Tanzania NCD Prevention and Control Program TaNCDP) ndani ya Idara ya Tiba ambayo ina jukumu la kuandaa miongozo na mikakati ya kisekta kwenye mapambano dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza.

 

Hayo yamebainishwa leo septemba 4,2023 Bungeni na Naibu Waziri, wa Afya Dkt. Godwin Molel wakati akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Dkt. Pius Stephen Chaya aliyeuliza lini Serikali itaanzisha Mamlaka ya Kuratibu na Kupambana na Magonjwa yasiyoambukiza.

 

Dkt. Mollel amesema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu imekwishatekeleza jukumu hilo kwa kukiongezea jukumu Kitengo cha Afya Moja (One Health) kusimamia Magonjwa yasiyoambukiza chini ya Kurugenzi ya Menejimenti ya Maafa.

 

Aidha akijibu swali la nyongeza Dkt. Mollel amesema kuwa serikali chini ya Rais Samia itatumia wahudumu wa afya ngazi ya jamii kutoa hamasa na elimu ya uelewa juu ya kujikinga na magonjwa yasiyoyakuambukiza ili kuhakikisha elimu sahihi inafika kwa wananchi wa ngazi ya msingi.

 

#KonceptTVUpdates

 

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In