ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SOKO LA MABIBO KUINGIZA BILIONI 2 IFIKAPO MWISHO WA MWAKA HUU

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Sep 4, 2023
in HABARI
0
SOKO LA MABIBO KUINGIZA BILIONI 2 IFIKAPO MWISHO WA MWAKA HUU
0
SHARES
17
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amesema kuwa soko la Mabibo linatarajiwa kuingiza bilion 2 kufikia mwisho wa mwaka baada ya kuweka usimamizi mzuri wa makusanyo, Hali hii imekuja mara baada ya awali fedha za ushuru na kodi katika soko hilo kuishia mifukoni mwa watu wasio waamini.

Ikumbukwe kuwa wiki chache zilizopita mkuu huyo wa mkoa albert chalamila alifuta uongozi wa soko la mabibo mara baada ya kufanya mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya soko la mabibo kufuatia utendaji mbovu wa waliokuwa viongozi wa soko hilo la mabibo.

“Napenda kukujulisha Mhe Rais soko letu la Mabibo tunatarajiwa mpaka mwisho wa mwaka litaingiza bilion 2 baada ya kuweka usimamizi mzuri na kuondoa wale waliokuwa wakichukua fedha na kutoziwasilisha” amesema Chalamila.

Ameyasema hayo hii leo tarehe 04 septemba 2023 kwenye ufunguzi wa kikao kazi cha maafisa wa jeshi la Polisi kinachotarajiwa kuanzia leo Polisi Oysterbay ambapo wataangazia hali ya utendaji na maboresho ya utendaji wa jeshi hilo

 

 

#KonceptTVUpdates

 

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2023
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Aug    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In