AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KOSA LA KUBAKA
Mahakama ya Mkoa Vuga leo, Mei 15, 2023 imemuhukumu mshtakiwa Jamal Ali Geto mwenye umri wa miaka 23 kutumikia...
Mahakama ya Mkoa Vuga leo, Mei 15, 2023 imemuhukumu mshtakiwa Jamal Ali Geto mwenye umri wa miaka 23 kutumikia...
Mtandao wa IFFHS (International Federation of Football Clubs History and Statistics) unaojihusisha na utoaji wa takwimu za Vilabu mbalimbali...
Kipa wa Simba SC, Aishi Manula bado ana mkataba Wa miaka Miwili na Simba SC kwa sasa hakuna klabu...
Kwanini Yanga wanakwepa kudai fidia kwa mchezaji ambaye ameonyesha nia na amevunja mkataba? Mchezaji ambaye ameandika barua kwa klabu, ameandika...
Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa kwa kushirikiana na wachekeshaji nchini wameandaa ‘Wananchi Comedy Festival’ kwaajili ya kuwacheka...
Imeelezwa kuwa Kikosi cha Yanga kilichoondoka mapema leo kuelekea Singida kwaajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi Singida Big Stars...
Rais Samia Suluhu Hassan amamuagiza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhakikisha anasimamia madai ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema zoezi la kuboresha maisha ya wafanyakazi nchini katika sekta mbalimbali ni endelevu. ...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana amesema likimalizika tukio la ugawaji Tuzo kutakuwa na...
Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Grace Godwin (23) Mkazi wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibinzamata Manispaa ya Shinyanga...
Jeshi la Polisi Nchini limetoa tahadhari kwa wananchi wanatumia vibaya mitaandao ya kijamii hasa kipindi hiki cha mvua zinazoendela kunyesha...
Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Marburg ni tisa ambapo kati ya...
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto kama Amiri Jeshi mkuu wa Nchi hiyo amekitaka Chama cha Azimio la Umoja kuacha...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amewataka mashabiki wa Simba kutembea kifua mbele kutokana na kiwango...
Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imetinga kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa...
Mtangazaji nguli wa habari wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Salim Kikete ametangaza kustaafu kazi katika shirika hilo baada...
Mwanamitindo na raia wa Marekani Christina Ashten Gourkani amefariki muda mfupi baada ya kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha maungo yake maarufu...
Klabu ya Ndanda ya Mtwara imetangaza kujitoa katika Ligi Daraja la Kwanza (Championship), huku sababu ikielezwa ni ukata kiasi Cha...
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini Ibrahim Najum kutoka jijini Mbeya amefariki Dunia mchana wa leo katika hospitali ya rufaa...
Mchungaji wa Kanisa la New Life Prayer Center, Ezekiel Odero lililopo kwenye eneo la Mavueni katika Kaunti ya Kilifi nchini...
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.